Wokovu katika ukristo maana yake
ni’ ukombozi toka kwenye nguvu au adhabu ya dhambi .’ tunapokea wokovu pale
tunapokiri kwamba hatuna uwezo kujizuia kwenda motoni na kumwamini Yesu
ametuokoa sisi sote toka katika dhambi zetu zote kwa kupitia kuzaliwa kwake,
ubatizo na damu yake msalabani.
Wale wasio na dhambi kwa kuamini
wokovu wa Yesu, ubatizo na damu ya Yesu huitwa “walio okoka” waliozaliwa upya
wenye haki.
Tunaweza kutumia neno
“wokovu” kwa wale wote walio okolewa
tokana na dhambi zao, pamoja na hatia zile za asili na zile za kila siku, kwa
kumwamini Yesu. Kama alivyo mtu aliye jongea kwa Mungu, Yule ajongeaye dhambi
za ulimwengu atakuwa ameokolewa kwa kumwamini Yesu kama mwokozi, kwa kuamini
ubatizo na damu, maneno ya kweli ya kiroho.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni